Friday, August 10, 2012

Baada ya kumaliza vidato,anasubiri kwenda Chuo Kikuu

Kijana aliyemaliza kidato cha sita mwaka jana katika Shule ya Sekondari ya wavulana Rungwe iliyoko Tukuyu Mkoani Mbeya katika mchepuo wa Kemia,Biologia na Geografia(CBG)na kupata daraja la pili(Division II)Frolian Protace akichora bango la shule ya Sekondari Kaagya wilaya ya Bukoba Vijijini.


No comments:

Post a Comment