Tuesday, August 14, 2012

Uzinduzi wa jengo la VIP katika hospital ya Mkoa wa Kagera

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi
Ugua pole.Mmoja wa wagonjwa katika jengo lililozinduliwa rasmi leo
'Unajisikiaje hali yako mgonjwa'
Ndani ya chumba cha gharama ya shilingi 75,000 kwa siku
Chumba cha kujifungulia mama wajawazito,gharama ni shilingi laki moja
Mkuu wa Mkoa akipima uzito ikiwa ni moja ya huduma zinazopatikana katika jengo jipya la daraja la Kwanza
Tuko Pamoja mama
Msanii 'Babu Ayoub' akituzwa na mgeni Rasmi baada ya kulitawala jukwaa

No comments:

Post a Comment