![]() |
| Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi |
![]() |
| Ugua pole.Mmoja wa wagonjwa katika jengo lililozinduliwa rasmi leo |
![]() |
| 'Unajisikiaje hali yako mgonjwa' |
![]() |
| Ndani ya chumba cha gharama ya shilingi 75,000 kwa siku |
![]() |
| Chumba cha kujifungulia mama wajawazito,gharama ni shilingi laki moja |
![]() |
| Mkuu wa Mkoa akipima uzito ikiwa ni moja ya huduma zinazopatikana katika jengo jipya la daraja la Kwanza |
![]() |
| Tuko Pamoja mama |
![]() |
| Msanii 'Babu Ayoub' akituzwa na mgeni Rasmi baada ya kulitawala jukwaa |










No comments:
Post a Comment