![]() |
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Rumuli Manispaa ya Bukoba wakiandamana kuelekea Ofisi za Manispaa kupinga uhamisho wa Mwalimu mkuu |
![]() |
Wamefika Ofisi za Manispaa |
![]() |
Ofisa Elimu wa Manispaa ya Bukoba Edwin Fande akiwatuliza wanafunzi hao baada ya kufanya maandamano ya kupinga uhamishi wa Mwalimu wao Mkuu aliyepelekwa shule ya Msingi Buyekera |
No comments:
Post a Comment