Tuesday, August 7, 2012

Wanafunzi Rumuli wapinga uhamisho wa Mwalimu Mkuu

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Rumuli Manispaa ya Bukoba wakiandamana kuelekea Ofisi za Manispaa kupinga uhamisho wa Mwalimu mkuu
Wamefika Ofisi za Manispaa
Ofisa Elimu wa Manispaa ya Bukoba Edwin Fande akiwatuliza wanafunzi hao baada ya kufanya maandamano ya kupinga uhamishi wa Mwalimu wao Mkuu aliyepelekwa shule ya Msingi Buyekera
Sister Victoria Vicent aliyekuwa mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Rumuli ambaye amehamishiwa shule ya Msingi Buyekera ikiwa ni wiki moja baada ya Mahakama Kuu kitengo cha Kazi kusitisha mgomo wa walimu wa kudai masrahi zaidi ya kazi

No comments:

Post a Comment