Sunday, May 27, 2012

Kutana na wasanii wanaotikisa Bukoba

Nshomile family akiwajibika na kundi lake mwishoni mwa wiki Wilayani Missenyi

Msanii'BK SUNDAY'anayetikisa na ngoma yake ya Secdo na nyingine nyingi.

Hapa BK Sunday akitoa misaada kwa makundi ya kijamii.Mcheki akiwa katika kituo cha kulea watoto yatima cha Hamugembe mjini Bukoba
Huyu naye mziki wake si polepole

No comments:

Post a Comment