Wednesday, May 23, 2012

Wahariri wa Tanzania Daima Tuko Pamoja

Wahariri wa Gazeti la Tanzania Daima wakiwa katika Ofisi za Kagera Press Club.Kutoka kushoto ni Martin Malera,Edson Kamulara,Amana Nyebo na Sarehe Mohamed wakisaini kitabu cha wageni
Mhariri wa Makala wa Gazeti la Tanzania Daima Amana Nyembo akihakiki picha katika kamera yake
Kila mtu yuko busy

Mwanafunzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA)cha mjini Bukoba Bwana Julius Mkandara akikishangaza kikosi kazi cha wahariri wa Gazeti la Tanzania Daima jinsi alivyobuni kifaa kinachomwezesha mlemavu wa aina yake kuendesha gari bila shida.


No comments:

Post a Comment