Thursday, May 24, 2012

Shamrashamra za Ushindi wa Mheshimiwa John Mnyika


John Mnyika(Chadema) akiwa amebebwa na mashabiki wake baada ya kushinda kesi ya kupinga Ubunge wake wa Jimbo la Ubungo

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)Taifa Freeman Mbowe akiteta na Wanahabari baada ya hukumu nje ya viwanja vya Mahakama Kuu Dar es salaamu


Baada ya hukumu Polisi jamii nayo ilichukua nafasi yake,hawa wameamua kuvua GAMBA na kuvaa GWANDA


Mlalamikaji wa matokeo ya Ubunge wa Ubungo Hawa Ng'umbi akisalimiana na baadhi ya wapenzi na mashabiki wa chama chake cha(CCM)na kumpa pole ya kushindwa kesi

No comments:

Post a Comment