Wednesday, May 2, 2012

PCCB yanasa waandishi wa habari 34 Kagera

Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Samwel Kamote akifungua mafunzo kwa waandishi wa habari 34 kutoka Mkoa wa Kagera katika Ukumbi wa Hotel ya Walk Guad
Waandishi wa habari wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni rasmi,Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Samwel Kamote.Wengine ni Maofisa wa PCCB Mkoa wa Kagera na Makao Makuu
Fili Karashani ambaye ni mshindi wa Tuzo ya Maisha yenye mafanikio katika uandishi wa habari(kushoto)ni miongoni mwa wawezeshaji wa mafunzo kwa waandishi 34 wa habari wa Mkoa wa Kagera
Baadhi ya washiriki wa mafunzo

No comments:

Post a Comment