Monday, April 30, 2012

Haikuwa kazi rahisi kwa Dk Mbasa kunyakua ubunge Biharamulo

Dk Athony Mbasa mbunge wa Biharaumlo siku alipofunga kampeini za uchaguzi mkuu mwaka 2010 katika Mji wa Biharamulo
Kabla ya Dk Mbasa  kutangazwa mshidi hali ilikuwa hivi katika viwanja vya Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo.Matokeo yalitangazwa usiku huku kukiwa na ulinzi mkali wa askali Polisi 

No comments:

Post a Comment