Saturday, April 21, 2012

Uyoga zamani ulipatikana kila mahali,leo ni mboga adimu

Mtoto anayekadiriwa kuwa kati ya umri wa miaka 7-8 akisaka wateja wa Uyoga mwendo mfupi kabla ya kukifikia kivuko cha Kyanyabasa Wilaya ya Bukoba Vijijini.Katika Mkoa wa Kagera Shirika la Maendeleo ya Wakulima(MAYAWA)pia linajihusisha na uhamasishaji wa jamii katika kupanda zao la uyoga.Mbegu za zao hilo zinapatikana katika ofisi zao zilizopo barabara ya kuelekea Kyakairabwa

No comments:

Post a Comment