Monday, April 30, 2012

Wanafunzi wa Kahororo Sec ndani ya Chumba cha Habari

Wanafunzi wa Kahororo Sekondari iliyopo nje kidogo ya Mji wa Bukoba wakiwa katika Ofisi za Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Kagera mjini Bukoba

Hapa wakinukuu mambo muhimu yaliyotolewa ufafanuzi na Waandishi jinsi wanavyofanya kazi na changamoto zinazowakabiri

Kiongozi wa wanafunzi James Ludovick kutoka Kahororo Sekondari akiuliza mbinu zinazotumiwa na waandishi kupata habari sahihi hasa pale wahusika wanapokataa kutoa ushirikiano kwa kukataa kuhojiwa juu ya suala husika

Mwandishi wa Kampuni ya IPP LTD Prudence Kibuka akitoa ufafanuzi kwa wanafunzi hao

Ili kukidhi hamu ya wanafunzi hao juu ya masuala ya habari,majibu mengine ilibidi yatafutwe kwenye mtandao wa Intanet.Hapa ni Lilian Lugakingira mwandishi wa Mwananchi Communication

No comments:

Post a Comment