Wednesday, April 18, 2012

Mlima wa Simba wasambaratishwa


Eneo maarufu kwa jina la Mlima wa Simba katika pori la Biharamulo likiwa linasambaratishwa katika utengenezaji wa barabara ya kiwango cha lami unaoendelea kuiunganisha Muleba na Biharamulo


Kambi ya wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu barabara kuu ya kuelekea Wilaya ya Ngara.Machmbo hayo yapo wilaya ya Biharamulo

Wanunuzi wakiuziwa nyama katika Kijiji cha Rusumo wilayani Ngara


No comments:

Post a Comment