Thursday, April 26, 2012

Usinipige picha,nafunika uso!

Huyu ametoa sharti la kupigwa picha akiwa amefunikwa uso.Hapa ni eneo la Bohari ya Mkoa
Wiki jana katika Kijiji cha Rusumo wilayani Ngara.Mkuu wa Mkoa wa Kagera Fabian Massawe akiungana na wananchi katika maadhimisho ya kilimo cha Migomba.
Watoto wakionyesha umahili  katika sanaa za maonyesho wilayani Karagwe wakati wa kuzindua mashamba ya mfano ya miti rafiki wa amazingira

No comments:

Post a Comment